Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 17:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+

  • Isaya 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+

      Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri.

  • Hosea 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova;+

      Badala yake, Waefraimu watarudi Misri,

      Nao watakula vitu visivyo safi kule Ashuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki