2 Wafalme 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+ Isaya 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri. Hosea 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova;+Badala yake, Waefraimu watarudi Misri,Nao watakula vitu visivyo safi kule Ashuru.+
6 Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea, mfalme wa Ashuru aliliteka jiji la Samaria.+ Kisha akawapeleka Waisraeli uhamishoni+ kule Ashuru na kuwaweka katika eneo la Hala na Habori kando ya mto Gozani+ na katika majiji ya Wamedi ili waishi humo.+
16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri.
3 Hawataendelea kukaa katika nchi ya Yehova;+Badala yake, Waefraimu watarudi Misri,Nao watakula vitu visivyo safi kule Ashuru.+