- 
	                        
            
            Isaya 35:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
Mtu asiye safi hatasafiri kwenye njia hiyo.+
Imetengwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo;
Hakuna mtu yeyote mpumbavu atakayepotea na kuingia katika njia hiyo.
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Yeremia 31:21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
Kazia fikira barabara kuu, njia ambayo unapaswa kupitia.+
Rudi, ewe bikira wa Israeli, rudi kwenye majiji haya yako.
 
 -