Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+

      Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri.

  • Isaya 35:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Na huko kutakuwa na barabara kuu,+

      Naam, njia inayoitwa Njia ya Utakatifu.

      Mtu asiye safi hatasafiri kwenye njia hiyo.+

      Imetengwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo;

      Hakuna mtu yeyote mpumbavu atakayepotea na kuingia katika njia hiyo.

  • Isaya 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani:

      “Fungueni* njia ya Yehova!+

      Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki