Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 35:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Na huko kutakuwa na barabara kuu,+

      Naam, njia inayoitwa Njia ya Utakatifu.

      Mtu asiye safi hatasafiri kwenye njia hiyo.+

      Imetengwa kwa ajili ya yule anayetembea katika njia hiyo;

      Hakuna mtu yeyote mpumbavu atakayepotea na kuingia katika njia hiyo.

  • Isaya 57:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Itasemwa, ‘Tengenezeni, tengenezeni barabara! Tayarisheni njia!+

      Ondoeni kizuizi chochote katika njia ya watu wangu.’”

  • Malaki 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu, naye atafungua* njia mbele yangu.+ Na ghafla Bwana wa kweli, mnayemtafuta, atakuja katika hekalu lake;+ na mjumbe wa agano atakuja, mnayependezwa naye. Tazama! Kwa hakika atakuja,” asema Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki