Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Siku hizo Yohana+ Mbatizaji alikuja kuhubiri+ katika nyika ya Yudea,

  • Mathayo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa kweli, huyu ndiye anayezungumziwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.’”+

  • Marko 1:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kama ilivyoandikwa katika nabii Isaya: “(Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu mbele yako,* ili akutayarishie njia.)+ 3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.’”+ 4 Yohana Mbatizaji alikuwa nyikani, akiwahubiria watu wabatizwe ili kuonyesha kwamba wametubu na hivyo wasamehewe dhambi zao.+

  • Luka 3:3-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi akaenda katika maeneo yote yaliyokuwa karibu na Yordani, akiwahubiria watu wabatizwe ili kuonyesha kwamba wametubu na hivyo wasamehewe dhambi zao,+ 4 kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya nabii Isaya: “Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.+ 5 Lazima kila bonde lijazwe, na kila mlima na kilima visawazishwe; lazima barabara zilizopinda zinyooshwe, na barabara zenye miparuzo zilainishwe; 6 na wote wenye mwili* wataona wokovu wa Mungu.’”*+

  • Yohana 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Akasema: “Mimi ni mtu anayepaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’*+ kama alivyosema nabii Isaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki