Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:3-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani:

      “Fungueni* njia ya Yehova!+

      Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+

       4 Kila bonde na liinuliwe,

      Na kila mlima na kilima kishushwe.

      Na ardhi yenye mashimo-mashimo itasawazishwa,

      Na ardhi yenye mawemawe itakuwa bonde tambarare.+

       5 Utukufu wa Yehova utafunuliwa,+

      Na wote wenye mwili* watauona pamoja,+

      Kwa maana kinywa cha Yehova kimesema hayo.”

  • Luka 2:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuleta wokovu+

  • Matendo 28:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Basi jueni kwamba wokovu huu kutoka kwa Mungu umepelekwa kwa mataifa;+ nao kwa hakika watausikiliza.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki