Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya nabii Isaya: “Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.+

  • Luka 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 na wote wenye mwili* wataona wokovu wa Mungu.’”*+

  • Matendo 13:45, 46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Wayahudi walipouona umati, walijawa na wivu wakaanza kupinga wakikufuru mambo ambayo Paulo alikuwa akisema.+ 46 Kisha Paulo na Barnaba wakawaambia hivi kwa ujasiri: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+

  • Matendo 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na bado akaniambia: ‘Nenda kwa sababu nitakutuma kwa mataifa yaliyo mbali.’”+

  • Waroma 11:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi ninauliza, Je, walijikwaa na kuanguka kabisa? La hasha! Lakini kwa kujikwaa kwao, kuna wokovu kwa watu wa mataifa, ili kuwachochea wawe na wivu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki