Mathayo 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa kweli, huyu ndiye anayezungumziwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.’”+ Marko 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.’”+ Yohana 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akasema: “Mimi ni mtu anayepaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’*+ kama alivyosema nabii Isaya.”+
3 Kwa kweli, huyu ndiye anayezungumziwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.’”+
23 Akasema: “Mimi ni mtu anayepaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’*+ kama alivyosema nabii Isaya.”+