Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Siku hizo Yohana+ Mbatizaji alikuja kuhubiri+ katika nyika ya Yudea,

  • Mathayo 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa kweli, huyu ndiye anayezungumziwa kupitia nabii Isaya+ kwa maneno haya: “Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.’”+

  • Marko 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.’”+

  • Luka 1:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 Kisha Zekaria baba yake akajazwa roho takatifu, naye akatoa unabii huu:

  • Luka 1:76
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 76 Lakini wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utaenda mbele za Yehova* ili kutayarisha njia zake,+

  • Luka 3:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi akaenda katika maeneo yote yaliyokuwa karibu na Yordani, akiwahubiria watu wabatizwe ili kuonyesha kwamba wametubu na hivyo wasamehewe dhambi zao,+ 4 kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya nabii Isaya: “Kuna mtu anayepaza sauti nyikani: ‘Tayarisheni njia ya Yehova!* Nyoosheni barabara zake.+

  • Luka 7:27, 28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Huyu ndiye ambaye imeandikwa hivi kumhusu, ‘Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu mbele yako,* ili akutayarishie njia mbele yako.’+ 28 Ninawaambia, kati ya wale waliozaliwa na wanawake hakuna aliye mkuu kuliko Yohana, lakini mtu mdogo zaidi katika Ufalme wa Mungu, ni mkuu kuliko Yohana.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki