Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 40:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kuna mtu anayepaza sauti nyikani:

      “Fungueni* njia ya Yehova!+

      Tengenezeni barabara kuu iliyonyooka+ inayopitia jangwani kwa ajili ya Mungu wetu.+

  • Malaki 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Tazama! Ninamtuma mjumbe wangu, naye atafungua* njia mbele yangu.+ Na ghafla Bwana wa kweli, mnayemtafuta, atakuja katika hekalu lake;+ na mjumbe wa agano atakuja, mnayependezwa naye. Tazama! Kwa hakika atakuja,” asema Yehova wa majeshi.

  • Luka 1:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 naye atawarudisha wana wengi wa Israeli kwa Yehova* Mungu wao.+ 17 Pia, atamtangulia kwa roho na nguvu za Eliya,+ ili kurudisha mioyo ya akina baba kwa watoto+ na wale wasiotii kwenye hekima ya waadilifu, na kumwandalia Yehova* watu waliotayarishwa.”+

  • Yohana 1:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Akasema: “Mimi ni mtu anayepaza sauti nyikani, ‘Nyoosheni njia ya Yehova,’*+ kama alivyosema nabii Isaya.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki