Mathayo 3:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Siku hizo Yohana+ Mbatizaji alikuja kuhubiri+ katika nyika ya Yudea, 2 akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”+ Marko 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yohana Mbatizaji alikuwa nyikani, akiwahubiria watu wabatizwe ili kuonyesha kwamba wametubu na hivyo wasamehewe dhambi zao.+ Luka 1:76, 77 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 76 Lakini wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utaenda mbele za Yehova* ili kutayarisha njia zake,+ 77 kuwapa watu wake ujuzi wa wokovu kupitia kusamehewa dhambi zao,+
3 Siku hizo Yohana+ Mbatizaji alikuja kuhubiri+ katika nyika ya Yudea, 2 akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”+
4 Yohana Mbatizaji alikuwa nyikani, akiwahubiria watu wabatizwe ili kuonyesha kwamba wametubu na hivyo wasamehewe dhambi zao.+
76 Lakini wewe, mtoto mchanga, utaitwa nabii wa Aliye Juu Zaidi, kwa maana utaenda mbele za Yehova* ili kutayarisha njia zake,+ 77 kuwapa watu wake ujuzi wa wokovu kupitia kusamehewa dhambi zao,+