Mathayo 3:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Siku hizo Yohana+ Mbatizaji alikuja kuhubiri+ katika nyika ya Yudea, 2 akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”+ Matendo 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kabla ya huyo kufika, Yohana alikuwa amewahubiria hadharani watu wote wa Israeli wabatizwe ili kuonyesha kwamba wametubu.+ Matendo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Paulo akasema: “Yohana aliwabatiza watu ili kuonyesha kwamba wametubu,+ akiwaambia wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”
3 Siku hizo Yohana+ Mbatizaji alikuja kuhubiri+ katika nyika ya Yudea, 2 akisema: “Tubuni, kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.”+
24 Kabla ya huyo kufika, Yohana alikuwa amewahubiria hadharani watu wote wa Israeli wabatizwe ili kuonyesha kwamba wametubu.+
4 Paulo akasema: “Yohana aliwabatiza watu ili kuonyesha kwamba wametubu,+ akiwaambia wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”