Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 10:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Yesu akawatuma hao 12 na kuwaagiza:+ “Msiende katika barabara ya mataifa, wala msiingie katika jiji lolote la Wasamaria;+ 6 badala yake, nendeni kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.+

  • Matendo 3:25, 26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Ninyi ndio wana wa manabii na wa agano ambalo Mungu alifanya na mababu zenu,+ alipomwambia Abrahamu: ‘Kupitia uzao wako,* familia zote za dunia zitabarikiwa.’+ 26 Baada ya Mungu kumwinua Mtumishi wake, alimtuma kwenu kwanza+ ili awabariki ninyi kwa kumgeuza kila mmoja wenu aache matendo yake maovu.”

  • Waroma 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana siionei aibu habari njema;+ kwa kweli, hiyo ni nguvu za Mungu kwa ajili ya wokovu kwa kila mtu aliye na imani,+ kwanza kwa Myahudi+ na pia kwa Mgiriki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki