38 Kwa maana yeyote atakayenionea aibu mimi na maneno yangu katika kizazi hiki chenye uzinzi * na chenye dhambi, Mwana wa binadamu atamwonea aibu pia+ atakapokuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika watakatifu.”+
8 Basi usione aibu kuhusu ushahidi juu ya Bwana wetu,+ au kunihusu mimi, mfungwa kwa ajili yake, bali shiriki katika kuvumilia dhiki+ kwa ajili ya habari njema kwa kutegemea nguvu za Mungu.+