-
Matendo 3:25, 26Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
25 Ninyi ndio wana wa manabii na wa agano ambalo Mungu alifanya na mababu zenu,+ alipomwambia Abrahamu: ‘Kupitia uzao wako,* familia zote za dunia zitabarikiwa.’+ 26 Baada ya Mungu kumwinua Mtumishi wake, alimtuma kwenu kwanza+ ili awabariki ninyi kwa kumgeuza kila mmoja wenu aache matendo yake maovu.”
-