Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 53:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Sisi sote tumetangatanga kama kondoo,+

      Kila mmoja ameifuata njia yake mwenyewe,

      Na Yehova amefanya dhambi yetu sote ikutane naye.+

  • Ezekieli 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kondoo wangu waliendelea kutangatanga kwenye milima yote na kwenye kila kilima kirefu; kondoo wangu walitawanyika kotekote duniani, na hakuna aliyewatafuta au kujitahidi kuwapata.

  • Matendo 13:45, 46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Wayahudi walipouona umati, walijawa na wivu wakaanza kupinga wakikufuru mambo ambayo Paulo alikuwa akisema.+ 46 Kisha Paulo na Barnaba wakawaambia hivi kwa ujasiri: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalikataa na kujiona hamstahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki