Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Luka 2:29-32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 “Sasa, Bwana Mwenye Enzi Kuu, unaruhusu mtumwa wako aende kwa amani+ kulingana na tangazo lako, 30 kwa sababu macho yangu yameona njia yako ya kuleta wokovu+ 31 ambayo umetayarisha machoni pa watu wote,+ 32 nuru+ ya kuondoa kitambaa* kwa mataifa+ na utukufu wa watu wako Israeli.”

  • Matendo 18:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi, Sila+ na Timotheo+ waliposhuka kutoka Makedonia, Paulo akaanza kushughulika sana na lile neno, akiwatolea Wayahudi ushahidi ili kuthibitisha kwamba Yesu ndiye Kristo.+ 6 Lakini walipoendelea kumpinga na kumtukana, akayakung’uta mavazi yake+ na kuwaambia: “Damu yenu na iwe juu ya vichwa vyenu wenyewe.+ Mimi ni safi.+ Kuanzia sasa nitaenda kwa watu wa mataifa.”+

  • Waroma 10:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini ninauliza, je, kweli Israeli walikosa kujua?+ Kwanza Musa anasema: “Nitawachochea muwe na wivu kupitia lile ambalo si taifa; nitawachochea muwe na hasira kali kupitia taifa lenye ujinga.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki