Mathayo 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Popote pale ambapo mtu hawakaribishi au kusikiliza maneno yenu, mnapotoka katika nyumba hiyo au jiji hilo, kung’uteni mavumbi yaliyo kwenye miguu yenu.+
14 Popote pale ambapo mtu hawakaribishi au kusikiliza maneno yenu, mnapotoka katika nyumba hiyo au jiji hilo, kung’uteni mavumbi yaliyo kwenye miguu yenu.+