16Kwa hiyo akafika Derbe na pia Listra.+ Huko kulikuwa na mwanafunzi aliyeitwa Timotheo,+ mama yake alikuwa Myahudi aliyekuwa mwamini, lakini baba yake alikuwa Mgiriki, 2 na alishuhudiwa vema na akina ndugu huko Listra na Ikoniamu.
6 Lakini Timotheo amerudi sasa hivi kutoka kwenu+ na kutujulisha habari njema kuhusu uaminifu na upendo wenu, kwamba mnaendelea kutukumbuka kwa upendo na kwamba mnatamani kutuona kama sisi pia tunavyotamani kuwaona.