Matendo 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Basi akawatuma wawili kati ya wale waliomhudumia, Timotheo+ na Erasto,+ waende Makedonia lakini yeye akakaa kwa muda fulani katika mkoa wa Asia. Waroma 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Timotheo, mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia Lukio, Yasoni, na Sosipata, watu wangu wa ukoo.+ 1 Wakorintho 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu, kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusha njia* zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko. 1 Wathesalonike 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu* katika habari njema kuhusu Kristo, ili awaimarishe* na kuwafariji kuhusiana na imani yenu, 1 Timotheo 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa Timotheo,*+ mwanangu halisi+ katika imani: Na uwe na fadhili zisizostahiliwa, rehema, na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
22 Basi akawatuma wawili kati ya wale waliomhudumia, Timotheo+ na Erasto,+ waende Makedonia lakini yeye akakaa kwa muda fulani katika mkoa wa Asia.
21 Timotheo, mfanyakazi mwenzangu anawasalimu ninyi, na pia Lukio, Yasoni, na Sosipata, watu wangu wa ukoo.+
17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu, kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusha njia* zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.
2 tukamtuma Timotheo,+ ndugu yetu na mhudumu wa Mungu* katika habari njema kuhusu Kristo, ili awaimarishe* na kuwafariji kuhusiana na imani yenu,
2 kwa Timotheo,*+ mwanangu halisi+ katika imani: Na uwe na fadhili zisizostahiliwa, rehema, na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.