5 Watu wa mataifa na Wayahudi, pamoja na watawala wao walipojaribu kuwatendea kwa dharau na kuwapiga mawe,+ 6 wakajulishwa jambo hilo, nao wakakimbilia majiji ya Likaonia, Listra na Derbe, na maeneo yaliyokuwa karibu.+ 7 Wakiwa huko, wakaendelea kutangaza habari njema.