Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+

      Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+

      Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.

  • Isaya 42:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 “Mimi, Yehova, nimekuita katika uadilifu;

      Nimekushika mkono wako.

      Nitakulinda na kukutoa uwe agano kwa ajili ya watu+

      Na uwe nuru kwa mataifa,+

  • Isaya 49:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Naye akasema: “Haitoshi tu wewe kuwa mtumishi wangu

      Ili kuyainua makabila ya Yakobo

      Na kuwarudisha wale waliohifadhiwa wa Israeli.

      Nimekutoa pia ili uwe nuru ya mataifa,+

      Ili wokovu wangu ufike kwenye miisho ya dunia.”+

  • Matendo 13:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Kwa maana Yehova* ametuamuru kwa maneno haya: ‘Nimewachagua muwe nuru ya mataifa, na muwe wokovu mpaka miisho ya dunia.’”+

  • Matendo 26:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 kwamba Kristo atateseka+ na akiwa wa kwanza kufufuliwa kutoka kwa wafu,+ atawatangazia nuru watu hawa na pia mataifa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki