Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+ Zaburi 35:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Usiruhusu wale ambao ni maadui wangu bila sababu wanicheke;Usiruhusu wale wanaonichukia bila sababu+ wakonyeze macho yao kwa hila.+ Isaya 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+ Isaya 53:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+
19 Usiruhusu wale ambao ni maadui wangu bila sababu wanicheke;Usiruhusu wale wanaonichukia bila sababu+ wakonyeze macho yao kwa hila.+
6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+
5 Lakini alichomwa*+ kwa sababu ya makosa yetu;+Alipondwa kwa sababu ya dhambi zetu.+ Aliibeba adhabu ili tupate amani,+Na kwa sababu ya majeraha yake tuliponywa.+