Wakolosai 1:19, 20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 kwa sababu Mungu alipenda ujazo wote ukae ndani yake,+ 20 na kupitia yeye apatanishe kwake mwenyewe vitu vingine vyote+ kwa kufanya amani kupitia damu+ aliyomwaga juu ya mti wa mateso,* iwe ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.
19 kwa sababu Mungu alipenda ujazo wote ukae ndani yake,+ 20 na kupitia yeye apatanishe kwake mwenyewe vitu vingine vyote+ kwa kufanya amani kupitia damu+ aliyomwaga juu ya mti wa mateso,* iwe ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.