19 yaani, kwamba Mungu kupitia Kristo alikuwa akiupatanisha ulimwengu kwake mwenyewe,+ bila kuwahesabia makosa yao,+ naye alitukabidhi ujumbe wa upatanisho.+
10 kwa ajili ya usimamizi* kwenye nyakati kamili zilizowekwa, kukusanya pamoja vitu vyote katika Kristo, vitu vilivyo mbinguni na vitu vilivyo duniani.+ Ndiyo, katika yeye