9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe—la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya ardhi+—
19 kwa sababu Mungu alipenda ujazo wote ukae ndani yake,+20 na kupitia yeye apatanishe kwake mwenyewe vitu vingine vyote+ kwa kufanya amani kupitia damu+ aliyomwaga juu ya mti wa mateso,* iwe ni vitu vilivyo duniani au vitu vilivyo mbinguni.