Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:67
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 Kisha wakamtemea mate usoni+ na kumpiga ngumi.+ Wengine wakampiga makofi usoni,+

  • Marko 14:65
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 Wengine wakaanza kumtemea mate,+ wakamfunika uso, wakampiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Walinzi wa mahakama wakampiga makofi usoni na kumchukua.+

  • Luka 22:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Sasa wale wanaume waliokuwa wamemkamata Yesu wakaanza kumdhihaki+ na kumpiga;+

  • Yohana 18:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Baada ya kusema hivyo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama hapo karibu akampiga Yesu kofi usoni+ na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki