Mathayo 26:67 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Kisha wakamtemea mate usoni+ na kumpiga ngumi.+ Wengine wakampiga makofi usoni,+ Marko 14:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Wengine wakaanza kumtemea mate,+ wakamfunika uso, wakampiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Walinzi wa mahakama wakampiga makofi usoni na kumchukua.+ Luka 22:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Sasa wale wanaume waliokuwa wamemkamata Yesu wakaanza kumdhihaki+ na kumpiga;+ Yohana 18:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Baada ya kusema hivyo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama hapo karibu akampiga Yesu kofi usoni+ na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?”
65 Wengine wakaanza kumtemea mate,+ wakamfunika uso, wakampiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Walinzi wa mahakama wakampiga makofi usoni na kumchukua.+
22 Baada ya kusema hivyo, mmoja wa maofisa aliyekuwa amesimama hapo karibu akampiga Yesu kofi usoni+ na kusema: “Je, hivyo ndivyo unavyomjibu mkuu wa makuhani?”