Luka 22:63-65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Sasa wale wanaume waliokuwa wamemkamata Yesu wakaanza kumdhihaki+ na kumpiga;+ 64 na baada ya kumfunika uso wakawa wakisema: “Toa unabii! Ni nani aliyekupiga?” 65 Nao wakasema mambo mengine mengi ya kumkufuru.
63 Sasa wale wanaume waliokuwa wamemkamata Yesu wakaanza kumdhihaki+ na kumpiga;+ 64 na baada ya kumfunika uso wakawa wakisema: “Toa unabii! Ni nani aliyekupiga?” 65 Nao wakasema mambo mengine mengi ya kumkufuru.