Isaya 50:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+ Isaya 53:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa. Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.* Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+ Mathayo 26:67, 68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Kisha wakamtemea mate usoni+ na kumpiga ngumi.+ Wengine wakampiga makofi usoni,+ 68 wakisema: “Tutolee unabii, wewe Kristo. Ni nani aliyekupiga?”
6 Niliwapa mgongo wangu wale waliokuwa wakinipigaNa mashavu yangu wale waliozing’oa ndevu zangu. Sikuuficha uso wangu kutoka kwa mambo yenye kufedhehesha na kutoka kwa mate.+
3 Alidharauliwa na kuepukwa na wanadamu,+Mtu aliyekusudiwa kupata* maumivu na aliyezoea magonjwa. Ilikuwa kana kwamba uso wake ulifichwa kutoka kwetu.* Alidharauliwa, nasi tulimwona kuwa asiye na maana.+
67 Kisha wakamtemea mate usoni+ na kumpiga ngumi.+ Wengine wakampiga makofi usoni,+ 68 wakisema: “Tutolee unabii, wewe Kristo. Ni nani aliyekupiga?”