Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 11:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Ndipo Yehova akaniambia: “Vitupe katika hazina—thamani kubwa waliyonikadiria.”+ Kwa hiyo nikavichukua vipande hivyo 30 vya fedha na kuvitupa katika hazina ya nyumba ya Yehova.+

  • Yohana 18:39, 40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Isitoshe, mna desturi kwamba niwafungulie mtu siku ya Pasaka.+ Basi, mnataka niwafungulie Mfalme wa Wayahudi?” 40 Wakasema tena kwa sauti kubwa: “Si mtu huyu, bali Baraba!” Baraba alikuwa mwizi.+

  • Matendo 3:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mungu wa Abrahamu na wa Isaka na wa Yakobo,+ Mungu wa mababu zetu, amemtukuza Mtumishi wake,+ Yesu,+ ambaye ninyi mlimkabidhi+ na kumkana mbele ya Pilato, ingawa alikuwa ameamua kumfungua. 14 Ndiyo, mlimkana huyo aliye mtakatifu na mwadilifu, nanyi mkaomba mpewe mwanamume aliyekuwa muuaji,+

  • Matendo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hilo ndilo ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilitendea kana kwamba halina maana nalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki