Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wote wanaoniona hunikejeli;+

      Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+

  • Mathayo 26:67, 68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 67 Kisha wakamtemea mate usoni+ na kumpiga ngumi.+ Wengine wakampiga makofi usoni,+ 68 wakisema: “Tutolee unabii, wewe Kristo. Ni nani aliyekupiga?”

  • Yohana 6:66
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 66 Kwa sababu hiyo, wengi kati ya wanafunzi wake wakarudi kwenye mambo yaliyo nyuma+ nao hawakumfuata tena.

  • 1 Petro 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mkimjia yeye, jiwe lililo hai lililokataliwa na wanadamu+ bali lililochaguliwa na lenye thamani kwa Mungu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki