Zaburi 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wote wanaoniona hunikejeli;+Wanafyonya midomo na kutikisa vichwa vyao kwa dharau:+ Mathayo 26:67, 68 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 67 Kisha wakamtemea mate usoni+ na kumpiga ngumi.+ Wengine wakampiga makofi usoni,+ 68 wakisema: “Tutolee unabii, wewe Kristo. Ni nani aliyekupiga?” Yohana 6:66 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 66 Kwa sababu hiyo, wengi kati ya wanafunzi wake wakarudi kwenye mambo yaliyo nyuma+ nao hawakumfuata tena. 1 Petro 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mkimjia yeye, jiwe lililo hai lililokataliwa na wanadamu+ bali lililochaguliwa na lenye thamani kwa Mungu,+
67 Kisha wakamtemea mate usoni+ na kumpiga ngumi.+ Wengine wakampiga makofi usoni,+ 68 wakisema: “Tutolee unabii, wewe Kristo. Ni nani aliyekupiga?”
66 Kwa sababu hiyo, wengi kati ya wanafunzi wake wakarudi kwenye mambo yaliyo nyuma+ nao hawakumfuata tena.
4 Mkimjia yeye, jiwe lililo hai lililokataliwa na wanadamu+ bali lililochaguliwa na lenye thamani kwa Mungu,+