Mathayo 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+ Waroma 5:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu. Waroma 5:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana kama vile kupitia kutotii kwa mtu mmoja wengi walifanywa kuwa watenda dhambi,+ vivyo hivyo pia kupitia kutii kwa mtu mmoja wengi watafanywa kuwa waadilifu.+
28 Kama vile Mwana wa binadamu alivyokuja, si kuhudumiwa, bali kuhudumu+ na kutoa uhai wake* uwe fidia badala ya wengi.”+
6 Kwa maana, kwa kweli, tulipokuwa bado dhaifu,+ Kristo alikufa wakati uliowekwa kwa ajili ya watu wasiomwogopa Mungu.
19 Kwa maana kama vile kupitia kutotii kwa mtu mmoja wengi walifanywa kuwa watenda dhambi,+ vivyo hivyo pia kupitia kutii kwa mtu mmoja wengi watafanywa kuwa waadilifu.+