Isaya 53:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika. Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+Na dhambi zao atazibeba.+ Waebrania 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa maana ilifaa kwamba yule ambaye kwa ajili yake na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ alipaswa kumfanya Wakili Mkuu wa wokovu wao+ awe mkamilifu kupitia mateso.+
11 Kwa sababu ya mateso* yake, ataona na kuridhika. Kupitia ujuzi wake, yule mwadilifu, mtumishi wangu,+Atawaletea watu wengi msimamo wa uadilifu,+Na dhambi zao atazibeba.+
10 Kwa maana ilifaa kwamba yule ambaye kwa ajili yake na kupitia kwake vitu vyote vipo, katika kuleta wana wengi kwenye utukufu,+ alipaswa kumfanya Wakili Mkuu wa wokovu wao+ awe mkamilifu kupitia mateso.+