Luka 24:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Je, haikuwa lazima Kristo kupatwa na mateso haya+ kisha aingie kwenye utukufu wake?”+ Waebrania 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ingawa alikuwa mwana, alijifunza kutii kutokana na mateso yaliyompata.+