Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Wafilipi 2:9-11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimpandisha kwenye cheo cha juu zaidi+ na kumpa kwa fadhili jina lililo juu kuliko kila jina lingine,+ 10 ili katika jina la Yesu kila goti lipigwe—la wale walio mbinguni na wale walio duniani na wale walio chini ya ardhi+— 11 na kila ulimi ukiri waziwazi kwamba Yesu Kristo ni Bwana+ kwa utukufu wa Mungu Baba.

  • Waebrania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini tunamwona Yesu, aliyefanywa kuwa mdogo kidogo kuliko malaika,+ sasa amevikwa taji la utukufu na heshima kwa kupatwa na kifo,+ ili kwa fadhili zisizostahiliwa za Mungu aonje kifo kwa ajili ya kila mtu.+

  • 1 Petro 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Waliendelea kuchunguza wakati hususa au majira ambayo roho iliyokuwa ndani yao ilikuwa ikionyesha kumhusu Kristo+ ilipokuwa ikitoa ushahidi mapema kuhusu mateso ya Kristo+ na kuhusu utukufu ambao ungefuata.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki