Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 22:16-18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana mbwa wananizunguka;+

      Wananizingira kama kundi la watenda maovu,+

      Kama simba, wanaishambulia mikono yangu na miguu yangu.+

      17 Ninaweza kuhesabu mifupa yangu yote.+

      Wananitazama na kunikodolea macho.

      18 Wanagawana mavazi yangu,

      Nao wanalipigia kura vazi langu.+

  • Isaya 53:7-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Alikandamizwa+ na alikubali kuteswa,+

      Lakini hakuthubutu kufungua kinywa chake.

      Aliletwa kama kondoo machinjioni,+

      Kama kondoo jike aliye kimya mbele ya wanaomkata manyoya,

      Na hakuthubutu kufungua kinywa chake.+

       8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;

      Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?*

      Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+

      Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+

       9 Naye alipewa kaburi* pamoja na waovu,+

      Na pamoja na matajiri* katika kifo chake,+

      Ingawa hakuwa amefanya kosa*

      Na hakukuwa na udanganyifu kinywani mwake.+

  • 1 Wakorintho 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana kati ya mambo ya kwanza niliyowapa ni yale niliyopokea pia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki