Danieli 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+ “Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+ Mathayo 27:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 Yesu akapaza tena sauti kisha akafa.*+
26 “Na baada ya hayo majuma 62, Masihi atauawa,*+ hatabaki na chochote.+ “Na watu wa kiongozi anayekuja wataliharibu jiji na mahali patakatifu.+ Na mwisho wake utakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita; kilichoamuliwa ni ukiwa.+