Isaya 53:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?* Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+ Isaya 53:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+ Mathayo 26:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Mnajua kwamba baada ya siku mbili kutakuwa na Pasaka,+ naye Mwana wa binadamu atatolewa ili auawe kwenye mti.”+ Luka 24:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Je, haikuwa lazima Kristo kupatwa na mateso haya+ kisha aingie kwenye utukufu wake?”+ 1 Wakorintho 15:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana kati ya mambo ya kwanza niliyowapa ni yale niliyopokea pia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko;+
8 Kwa sababu ya kizuizi* na hukumu alichukuliwa;Na ni nani atakayejishughulisha na habari za kizazi chake?* Kwa maana aliondolewa katika nchi ya walio hai;+Alipata pigo* kwa sababu ya makosa ya watu wangu.+
12 Kwa sababu hiyo nitampa fungu kati ya wengi,Naye atagawa nyara pamoja na wenye nguvu,Kwa sababu aliumwaga uhai wake* mpaka kifo+Naye alihesabiwa miongoni mwa wakosaji;+Aliibeba dhambi ya watu wengi,+Naye aliwatetea wakosaji.+
2 “Mnajua kwamba baada ya siku mbili kutakuwa na Pasaka,+ naye Mwana wa binadamu atatolewa ili auawe kwenye mti.”+
3 Kwa maana kati ya mambo ya kwanza niliyowapa ni yale niliyopokea pia, kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu kulingana na Maandiko;+