Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Siku hiyo itakuwa ukumbusho kwenu, nanyi mnapaswa kuisherehekea ikiwa sherehe kwa Yehova katika vizazi vyenu vyote. Kwa kuwa ni sheria ya kudumu, mnapaswa kuisherehekea.

  • Marko 14:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sasa ilikuwa siku mbili kabla+ ya Pasaka+ na Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Nao wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata Yesu kwa hila* na kumuua;+ 2 kwa maana walikuwa wakisema: “Si kwenye sherehe; huenda watu wakafanya ghasia.”

  • Luka 22:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu, inayoitwa, Pasaka,+ ilikuwa imekaribia.+ 2 Nao wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia bora ya kumuua,+ kwa sababu waliwaogopa watu.+

  • Yohana 13:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Sasa, kwa sababu alijua kabla ya sherehe ya Pasaka kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni na kwenda kwa Baba+ ilikuwa imefika,+ Yesu akiwa amewapenda walio wake ulimwenguni, aliwapenda mpaka mwisho.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki