Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:2-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mnajua kwamba baada ya siku mbili kutakuwa na Pasaka,+ naye Mwana wa binadamu atatolewa ili auawe kwenye mti.”+

      3 Ndipo wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakakusanyika katika ua wa kuhani mkuu aliyeitwa Kayafa,+ 4 nao wakapanga njama pamoja+ ili kumkamata Yesu kwa hila* na kumuua. 5 Hata hivyo, walikuwa wakisema: “Si kwenye sherehe, ili watu wasifanye ghasia.”

  • Luka 22:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Sasa Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu, inayoitwa, Pasaka,+ ilikuwa imekaribia.+ 2 Nao wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia bora ya kumuua,+ kwa sababu waliwaogopa watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki