-
Mathayo 26:2-5Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 “Mnajua kwamba baada ya siku mbili kutakuwa na Pasaka,+ naye Mwana wa binadamu atatolewa ili auawe kwenye mti.”+
3 Ndipo wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakakusanyika katika ua wa kuhani mkuu aliyeitwa Kayafa,+ 4 nao wakapanga njama pamoja+ ili kumkamata Yesu kwa hila* na kumuua. 5 Hata hivyo, walikuwa wakisema: “Si kwenye sherehe, ili watu wasifanye ghasia.”
-