Mathayo 26:57 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wazee walikuwa wamekusanyika.+ Luka 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 katika siku za Kayafa+ na mkuu wa makuhani Anasi, Yohana+ mwana wa Zekaria akiwa nyikani, alipokea ujumbe kutoka kwa Mungu.+ Yohana 11:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Lakini mmoja wao aitwaye Kayafa,+ aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo, akawaambia: “Ninyi hamjui chochote, Yohana 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwanza wakampeleka kwa Anasi, kwa maana alikuwa baba mkwe wa Kayafa,+ ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+ Yohana 18:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kisha Anasi akaagiza Yesu apelekwe kwa kuhani mkuu Kayafa,+ akiwa amefungwa.
57 Wale waliomkamata Yesu wakampeleka kwa Kayafa+ kuhani mkuu, ambako waandishi na wazee walikuwa wamekusanyika.+
2 katika siku za Kayafa+ na mkuu wa makuhani Anasi, Yohana+ mwana wa Zekaria akiwa nyikani, alipokea ujumbe kutoka kwa Mungu.+
49 Lakini mmoja wao aitwaye Kayafa,+ aliyekuwa kuhani mkuu mwaka huo, akawaambia: “Ninyi hamjui chochote,
13 Kwanza wakampeleka kwa Anasi, kwa maana alikuwa baba mkwe wa Kayafa,+ ambaye alikuwa kuhani mkuu mwaka huo.+