3 Ndipo wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakakusanyika katika ua wa kuhani mkuu aliyeitwa Kayafa,+ 4 nao wakapanga njama pamoja+ ili kumkamata Yesu kwa hila na kumuua. 5 Hata hivyo, walikuwa wakisema: “Si kwenye sherehe, ili watu wasifanye ghasia.”