Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 21:45, 46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Wakuu wa makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Yesu, wakajua kwamba alikuwa akizungumza kuwahusu.+ 46 Ingawa walitaka kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+

  • Mathayo 26:3-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Ndipo wakuu wa makuhani na wazee wa watu wakakusanyika katika ua wa kuhani mkuu aliyeitwa Kayafa,+ 4 nao wakapanga njama pamoja+ ili kumkamata Yesu kwa hila* na kumuua. 5 Hata hivyo, walikuwa wakisema: “Si kwenye sherehe, ili watu wasifanye ghasia.”

  • Marko 14:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Sasa ilikuwa siku mbili kabla+ ya Pasaka+ na Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu.+ Nao wakuu wa makuhani na waandishi walikuwa wakitafuta njia ya kumkamata Yesu kwa hila* na kumuua;+ 2 kwa maana walikuwa wakisema: “Si kwenye sherehe; huenda watu wakafanya ghasia.”

  • Luka 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Waandishi na wakuu wa makuhani walitambua kwamba mfano aliosema uliwahusu, basi walitaka kumkamata saa hiyo hiyo, lakini waliwaogopa watu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki