Mathayo 21:45, 46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Wakuu wa makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Yesu, wakajua kwamba alikuwa akizungumza kuwahusu.+ 46 Ingawa walitaka kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+ Marko 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakataka kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba mfano aliosema uliwahusu. Basi wakamwacha na kwenda zao.+
45 Wakuu wa makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Yesu, wakajua kwamba alikuwa akizungumza kuwahusu.+ 46 Ingawa walitaka kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+
12 Ndipo wakataka kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba mfano aliosema uliwahusu. Basi wakamwacha na kwenda zao.+