Mathayo 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Umati ukaendelea kusema: “Huyu ndiye nabii Yesu,+ kutoka Nazareti ya Galilaya!” Yohana 7:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Baadhi ya watu katika umati waliosikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii.”+
40 Baadhi ya watu katika umati waliosikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii.”+