Kumbukumbu la Torati 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nitawainulia nabii+ kama wewe kutoka kati ya ndugu zao, nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atawaambia mambo yote nitakayomwamuru.+ Yohana 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+
18 Nitawainulia nabii+ kama wewe kutoka kati ya ndugu zao, nami nitaweka maneno yangu katika kinywa chake,+ naye atawaambia mambo yote nitakayomwamuru.+
14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+