Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+

  • Hesabu 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Musa alikuwa mtu mpole zaidi kuliko watu wote*+ duniani.

  • Mathayo 4:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani ili akajaribiwe+ na Ibilisi.+ 2 Baada ya kufunga kwa siku 40, mchana na usiku, akahisi njaa.

  • Mathayo 11:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu moyoni,+ nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu.*

  • Yohana 5:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kwa kweli, ikiwa mngemwamini Musa mngeniamini pia, kwa sababu aliandika kunihusu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki