Kutoka 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+ Hesabu 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Musa alikuwa mtu mpole zaidi kuliko watu wote*+ duniani. Mathayo 4:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani ili akajaribiwe+ na Ibilisi.+ 2 Baada ya kufunga kwa siku 40, mchana na usiku, akahisi njaa. Mathayo 11:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu moyoni,+ nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu.* Yohana 5:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwa kweli, ikiwa mngemwamini Musa mngeniamini pia, kwa sababu aliandika kunihusu.+
28 Musa akaendelea kukaa huko pamoja na Yehova kwa siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala kunywa maji.+ Naye Mungu aliandika kwenye yale mabamba, maneno ya agano hilo, zile Amri Kumi.*+
4 Ndipo Yesu akaongozwa na roho kuingia nyikani ili akajaribiwe+ na Ibilisi.+ 2 Baada ya kufunga kwa siku 40, mchana na usiku, akahisi njaa.
29 Chukueni nira yangu na mjifunze kutoka kwangu, kwa maana mimi ni mpole na mnyenyekevu moyoni,+ nanyi mtapata burudisho kwa ajili yenu.*