Kumbukumbu la Torati 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kisha nikalala kifudifudi mbele za Yehova kwa siku 40, mchana na usiku, kama nilivyofanya mwanzoni. Sikula chakula wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zote mlizokuwa mmetenda kwa kufanya uovu machoni pa Yehova na kumkasirisha.
18 Kisha nikalala kifudifudi mbele za Yehova kwa siku 40, mchana na usiku, kama nilivyofanya mwanzoni. Sikula chakula wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zote mlizokuwa mmetenda kwa kufanya uovu machoni pa Yehova na kumkasirisha.