Mathayo 21:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Ingawa walitaka kumkamata, waliogopa umati, kwa sababu walimwona kuwa nabii.+ Luka 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi wote wakaogopa, wakaanza kumtukuza Mungu wakisema: “Nabii mkuu ameinuliwa kati yetu,”+ na, “Mungu amewakumbuka watu wake.”+ Luka 24:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Akawauliza: “Mambo gani?” Wakamjibu: “Kuhusu Yesu Mnazareti,+ yule nabii aliyefanya miujiza na kusema maneno yenye nguvu mbele za Mungu na watu wote;+
16 Basi wote wakaogopa, wakaanza kumtukuza Mungu wakisema: “Nabii mkuu ameinuliwa kati yetu,”+ na, “Mungu amewakumbuka watu wake.”+
19 Akawauliza: “Mambo gani?” Wakamjibu: “Kuhusu Yesu Mnazareti,+ yule nabii aliyefanya miujiza na kusema maneno yenye nguvu mbele za Mungu na watu wote;+