Mathayo 2:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Akaenda kuishi katika jiji liitwalo Nazareti,+ ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia manabii: “Ataitwa Mnazareti.”*+ Mathayo 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Umati ukaendelea kusema: “Huyu ndiye nabii Yesu,+ kutoka Nazareti ya Galilaya!”
23 Akaenda kuishi katika jiji liitwalo Nazareti,+ ili kutimiza maneno haya yaliyosemwa kupitia manabii: “Ataitwa Mnazareti.”*+