Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu. Ni lazima mumsikilize.+

  • Yohana 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yule mwanamke akamwambia: “Bwana, ninaona kwamba wewe ni nabii.+

  • Yohana 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+

  • Yohana 7:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Baadhi ya watu katika umati waliosikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki