Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu. Ni lazima mumsikilize.+ Yohana 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Yule mwanamke akamwambia: “Bwana, ninaona kwamba wewe ni nabii.+ Yohana 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+ Yohana 7:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Baadhi ya watu katika umati waliosikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii.”+
14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+
40 Baadhi ya watu katika umati waliosikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii.”+